Ajira Kwa Vijana Na Wataalam
Kampuni imeajiri wafanyakazi 6 kwa wastani wengi wakiwa ni vijana ambao wamemaliza vyuo vya hapa nchini.
Pia kampuni inatoa fursa kwa wataalam mbali-mbali kama watalaam wa mpango mji, wapima ardhi, komputa (IT professionals), masoko (marketing professionals) na kadhalika.