Plot Ownership
Consultation and Legal Work on plot ownership. We are doing the full process of making you a legal plot owner.
Consultation and Legal Work on plot ownership. We are doing the full process of making you a legal plot owner.
Consultation on the cost of surveying of plot and farmland.
Getting a legal building permissions
Changing the name of ownership on the deed.
Know the legal owner of the plot/farmland you want to buy.
Change the plot usage and secure your plot against illegal or criminal usage.
Preparation of detailed planning schemes, regularization of informal settlements etc.
Land management, Land Valuation, Land administration, Land conflict management. Land use/transportation modeling and demographic analysis
Base Map Preparation, House Design, and Plot Organization, Site Planning, Neighborhood and so much more.
Formulation, interpret and review of urban and regional planning, development and management and policies, by-laws and regulation: Housing and Land Economics planning: Environmental Planning and Management.
1. Ushauri namna ya kuweza kupata hati miliki ya shamba/kiwanja chako.
2. Ushauri njia sahihi ya kupitia kipindi unaponunua shamba/kiwanja.
3. Kujua gharama za upimaji shamba/kiwanja.
3. Utaratibu wa kupitia upate kibali cha ujenzi.
4. Namna ya kubadili umiliki wa hati kwa mmiliki mpya wa shamba/kiwanja.
5. Kurudishia mipaka ya shamba/kiwanja chako.
6. Kujua uhalali wa umiliki wa kiwanja/shamba unalotaka kununua.
7. Taratibu za kufuata ili kubadili matumizi ya eneo lako la Ardhi.
8. Taratibu za kufuata ili kulinda eneo lako la shamba/kiwanja dhidi ya watu wenye nia ovu.
Baadhi ya maswali ya mara kwa mara yanayoulizwa na wateja wa viwanja na mashamba.
MCL kwa kushirikiana na makampuni ya upimaji na upangaji miji yaliyoidhinishwa na kutambulika na bodi za wizara ya ardhi nyumba na maendeleo ya makazi i.e. NCPS na TPRB. Hufanya kazi ya upimaji wa maeneo ya mradi kwa kushirikiana na makampuni hayo.
Kampuni ina namna tatu za kupata maeneo ya miradi ikiwa ni baada ya kujiridhisha uhalali wa milki, mipaka na ukubwa kuanzia ngazi ya mtaa, kata na wenyeji wa asili na majirani wanaoaminika mpaka ngazi ya wilaya, mkoa na wizara. Aina hizo ni kama ifuatavyo:-
na kuidhinisha) mradi;
III. Kuingia mikataba na wadau waliopima miradi yao binafsi kwa kuwatafutia masoko na kuboresha miundombinu ili kuvutia wanunuzi kuweza kuyaendeleza kwa urahisi na haraka.
a. Kampuni inaandaa mazingira ya uendelezaji katika kuhakikisha maeneo ya mradi yanapitika kwa urahisi kipindi chote cha mwaka;
b. Kampuni ina vifaa mbalimbali vya kisasa vya upimaji ardhi na kupanga miji ambavyo vinawawezesha kampuni shirika zilizosajiliwa katika fani hizo kuweza kufanya kazi kwa wepesi, ufanisi na haraka;
c. Kampuni hupeleka nishati ya umeme katika miradi ili kuharakisha maendeleo;
d. Kuweka madaraja/kalavati ili mawasiliano yawepo kipindi chote cha mwaka;
e. Kusogeza huduma za vifaa vya ujenzi na malighafi; na
f. Kuchimba visima katika maeneo yaliyo na mahitaji ya maji.
Baada ya kundaa miradi, viwanja vinauzwa kupitia mfumo ufuatao:
Katika kuvutia wawekezaji na wateja, kampuni inatumia mbinu tofauti katika matangazo, kwa mfano:
1) Kampuni imeshiriki katika mitandao ya kijamii ya kibiashara katika kutangaza viwanja,
2) Kampuni ina jarida lake la kila mwezi linalosambazwa bila kuuzwa kwa watu na ofisi mbalimbali nchini kote bara na visiwani. Jarida hili linatangaza fursa zilizopo katika miradi ya kampuni na pia taarifa na ushauri mbalimbali kuhusiana na uwekezaji katika ardhi;
3) Kampuni ina mpango wa kutangaza biashara katika maonesho ya Kitaifa na Kimataifa ya Sababa kuanzia mwaka 2020.
Our team at Mrisho Consult Limited brings a wealth of expertise in land consulting, encompassing services such as site analysis, Planning & Land Surveying, and legal document processing.
From buying and selling surveyed land to facilitating land ownership transfers, we offer a comprehensive suite of services to meet all your land consulting needs.
We operate in strict adherence to the Tanzania Company Act and uphold the highest standards of legal compliance. Our commitment to transparency ensures that every transaction is conducted with integrity.
At Mrisho Consult Limited, we prioritize our clients’ needs. Our client-centric approach involves understanding your unique requirements and tailoring our services to meet them.
Our portfolio includes successful land consulting projects and satisfied clients. We take pride in our proven track record, demonstrating our ability to navigate challenges and deliver results.
With a deep understanding of the local real estate landscape, we provide insights into market trends, regulatory changes, and potential opportunities.